• HABARI MPYA

    Friday, January 30, 2015

    ANDY MURRAY ATINGA FAINALI AUSTRALIAN OPEN WANAUME

    Murray will play either Novak Djokovic or Stanislas Wawrinka in the Australian Open final on Sunday in Melbourne
    Andy Murray akishangilia baada ya kutoka nyuma na kumshinda Tomas Berdych kwa seti 3-1 (6-7, 6-0, 6-3, 7-5) katika Nusu Fainali ya michuano ya Australian Open jana iliyodumu kwa takriban muda wa saa tatu na nusu.  Murray sasa atakutana na ama Novak Djokovic au Stanislas Wawrinka katika Fainali Jumapili mjini Melbourne.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/tennis/article-2931098/Andy-Murray-recovers-set-secure-passage-fourth-Australian-Open-final-beating-Tomas-Berdych-four.html#ixzz3QHc7OoVG 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ANDY MURRAY ATINGA FAINALI AUSTRALIAN OPEN WANAUME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top